Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1982 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 4 Januari
-
Ross Turnbull
, mchezaji wa mpira kutoka
Uingereza
- 20 Januari
-
Tiffany Mason
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 3 Februari
-
Isha Ramadhani
,
mwimbaji
kutoka
Tanzania
- 10 Februari
-
Nadir Haroub Ali
, mchezaji mpira kutoka
Tanzania
- 16 Februari
-
Angela Damas
,
mrembo
wa
Tanzania
mwaka
2002
- 5 Aprili
-
Lacey Duvalle
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 15 Aprili
-
Seth Rogen
, mwigizaji wa filamu kutoka
Kanada
- 30 Aprili
-
Lloyd Banks
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 5 Mei
-
Petr ?ech
, mchezaji wa mpira kutoka
Ucheki
- 6 Julai
-
Tay Zonday
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 7 Julai
-
Cassidy
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 18 Julai
-
Nestroy Kizito
,
mchezaji mpira
kutoka
Uganda
- 24 Agosti
-
Jose Bosingwa
, mchezaji wa mpira kutoka
Ureno
- 27 Septemba
-
Lil Wayne
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 21 Oktoba
-
Matt Dallas
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 16 Novemba
-
Mangwair
, mwanamuziki kutoka
Tanzania
- 20 Novemba
-
Remi Mathis
, mwanahistoria kutoka
Ufaransa
- 30 Novemba
-
Elisha Cuthbert
,
mwigizaji
filamu
kutoka
Kanada
- 1 Desemba
-
Diego Cavalieri
, mchezaji mpira kutoka
Brazil
- 5 Desemba
-
Keri Hilson
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 18 Januari
-
Huang Xianfan
,
mwanahistoria
kutoka
China
- 19 Januari
-
Marya Zaturenska
, mshairi kutoka
Marekani
- 14 Februari
-
Antonio Casas
, mwigizaji filamu kutoka
Hispania
- 17 Februari
-
Thelonious Monk
, mwanamuziki wa
Marekani
- 19 Machi
-
Louis-Victor Broglie
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1929
- 28 Machi
-
William Giauque
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1949
- 15 Aprili
-
Teofilo Kisanji
,
askofu
wa
Kanisa la Moravian Tanzania
- 20 Aprili
-
Archibald MacLeish
, mshairi kutoka
Marekani
- 12 Juni
-
Karl von Frisch
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1973
- 18 Juni
?
John Cheever
, mwandishi wa
Marekani
(na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
, mwaka wa
1979
- 12 Agosti
-
Henry Fonda
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
- 15 Agosti
-
Hugo Theorell
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1955
- 17 Agosti
-
Ruth First
,
mwandishi
wa
Afrika Kusini
- 21 Agosti
-
Sobhuza II
,
mfalme
wa
Uswazi
- 23 Agosti
-
Stanford Moore
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1972
- 8 Oktoba
-
Philip Noel-Baker
,
mwanasiasa
wa
Uingereza
na mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Amani
mwaka wa
1959
- 12 Oktoba
-
Howard Sackler
, mwandishi kutoka
Marekani
- 9 Novemba
-
Shaykh 'Abdullaah Swaalih Al-Farsy
, mwanahistoria kutoka
Zanzibar
- 7 Desemba
-
Will Lee
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: