Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1987 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 11 Januari
-
Jamie Vardy
, mchezaji wa mpira kutoka
Uingereza
- 26 Januari
-
Sebastian Giovinco
,
mchezaji mpira
kutoka
Italia
- 18 Februari
-
Skin Diamond
- 18 Machi
-
Selemani Ndikumana
, mchezaji mpira wa
Kibelgiji
kutoka
Burundi
- 4 Aprili
-
Macdonald Mariga
, mchezaji mpira kutoka
Kenya
- 9 Aprili
-
Blaise Matuidi
, mchezaji mpira wa
Ufaransa
- 10 Aprili
-
Thabani Kamusoko
. mchezaji wa mpira kutoka
Zimbabwe
- 1 Mei
-
Saidi Ntibazonkiza
, mchezaji mpira kutoka
Burundi
- 27 Mei
-
Gervais Yao Kouassi
, mchezaji mpira wa
Cote d'Ivoire
- 18 Juni
-
Semra Kebede
, mwigizaji wa filamu kutoka
Ethiopia
- 24 Juni
-
Lionel Messi
, mchezaji wa mpira kutoka
Argentina
- 26 Juni
-
Samir Nasri
, mchezaji mpira kutoka
Ufaransa
- 28 Julai
-
Pedro Rodriguez Ledesma
, mchezaji wa mpira kutoka
Hispania
- 6 Septemba
-
Marie Fuema
, mwanamitindo kutoka
Senegal
- 16 Septemba
-
Smosh
, yaani
Anthony Padilla
, mchekeshaji wa mtandaoni kutoka
Marekani
- 17 Oktoba
-
Bea Alonzo
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Ufilipino
- 17 Novemba
-
Kat DeLuna
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 30 Novemba
-
Smosh
, yaani
Ian Andrew Hecox
, mchekeshaji wa mtandaoni kutoka
Marekani
- 22 Februari
-
Andy Warhol
,
msanii
kutoka
Marekani
- 27 Mei
-
John Howard Northrop
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1946
- 9 Juni
-
Elijah Masinde
,
mwanzilishi
wa
Dini ya Musambwa
- 24 Juni
-
Jackie Gleason
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 26 Agosti
-
Georg Wittig
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1979
- 11 Septemba
-
Peter Tosh
, mwanamuziki wa
Rege
)
- 21 Septemba
-
Jaco Pastorius
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 2 Oktoba
-
Peter Medawar
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1960
- 9 Oktoba
-
William Murphy
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1934
- 13 Oktoba
-
Walter Brattain
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1956
- 15 Oktoba
-
Thomas Sankara
,
Rais
wa
Burkina Faso
(
1983
-1987), aliuawa
- 2 Desemba
-
Luis Leloir
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1970
- 17 Desemba
-
Marguerite Yourcenar
,
mwandishi
na
mshairi
kutoka
Ubelgiji
Wikimedia Commons ina media kuhusu: