Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1980 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 4 Januari
-
Greg Cipes
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 25 Januari
-
Xavi
,
mchezaji mpira
kutoka
Hispania
- 12 Februari
-
Innocent Cornel Sahani
,
mwanamuziki
kutoka
Tanzania
- 12 Februari
-
Christina Ricci
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 29 Machi
-
Kim Tae-hee
, mwigizaji wa filamu kutoka
Korea Kusini
- 26 Agosti
-
Chris Pine
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 14 Septemba
-
Ayo
,
mwimbaji
kutoka
Ujerumani
- 25 Septemba
-
T.I.
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 15 Oktoba
-
Edgar Ngelela
, msanii na mwanamuziki kutoka
Tanzania
- 24 Oktoba
-
Lucy Komba
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Tanzania
- 22 Novemba
-
Carla Campbell
, mwanamitindo kutoka
Jamaika
- 25 Novemba
-
Aaron Mokoena
, mchezaji mpira kutoka
Afrika Kusini
- 25 Novemba
-
Aleen Bailey
,
mwanariadha
wa
Olimpiki
kutoka
Jamaika
- 7 Desemba
-
John Terry
, mchezaji wa mpira kutoka
Uingereza
- 14 Desemba
-
Didier Zokora
, mchezaji mpira kutoka
Cote d'Ivoire
- 24 Desemba
-
Stephen Appiah
, mchezaji mpira kutoka
Ghana
anayecheza hasa nchini
Italia
- 30 Desemba
-
Eliza Dushku
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
bila tarehe
- 2 Februari
-
William Stein
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1972
- 25 Machi
-
James Wright
, mshairi kutoka
Marekani
- 29 Aprili
-
Alfred Hitchcock
,
mwongozaji wa filamu
kutoka
Uingereza
- 25 Julai
-
Vladimir Vysotsky
, msanii kutoka
Urusi
- 8 Septemba
-
Willard Libby
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1960
- 18 Septemba
-
Katherine Anne Porter
, mwandishi kutoka
Marekani
- 27 Oktoba
-
John Van Vleck
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1977
- 7 Novemba
-
Steve McQueen
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 24 Novemba
-
Herbert Agar
, mwanahistoria kutoka
Marekani
- 8 Desemba
-
John Lennon
, mwanamuziki
Mwingereza
) aliuawa.
- 21 Desemba
-
Marc Connelly
, mwandishi kutoka
Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: