Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
6 Julai
ni
siku
ya 187 ya
mwaka
(ya 186 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 178.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Maria Goretti
,
Siriaka wa Nikomedia
,
Romolo wa Fiesole
,
Sisoi Mkuu
,
Paladi wa Uskoti
,
Moninne
,
Goar
,
Yusto wa Condat
,
Petro Wang Zuolong
,
Nazaria Ignasya
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
6 Julai
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|