Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1983 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 26 Januari
-
Gorilla Zoe
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 19 Februari
-
Miriam Odemba
, mwanamitindo kutoka
Tanzania
- 10 Machi
-
Lashinda Demus
,
mwanariadha
wa
Olimpiki
kutoka
Marekani
- 22 Mei
-
Cynthia Muvirimi
, mwanamitindo kutoka
Zimbabwe
- 20 Juni
-
Sylvia Bahame
,
mrembo
wa
Tanzania
, mwaka wa
2003
- 24 Juni
-
John Lloyd Cruz
,
mwigizaji
filamu
kutoka
Ufilipino
- 27 Julai
-
Blandina Changula
, mwigizaji filamu nchini
Tanzania
- 20 Agosti
-
Andrew Garfield
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 9 Septemba
-
Kristine Hermosa
, mwigizaji filamu kutoka
Ufilipino
- 21 Septemba
-
Anna Favella
, mwigizaji wa filamu kutoka
Italia
- 14 Novemba
-
Lil Boosie
, mwanamuziki kutoka
Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: