Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
1 Desemba
ni
siku
ya 335 ya
mwaka
(ya 336 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 30.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
nabii Nahumu
,
Kastrisiani
,
Ajeriki
,
Eliji wa Noyon
,
Edmundi Campion
,
Rudolf Sherwin
,
Aleksanda Briant
,
Charles de Foucauld
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
1 Desemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|