Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
2003 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 27 Machi
-
Paul Zindel
, mwandishi kutoka
Marekani
- 6 Aprili
-
Babatunde Olatunji
,
mwanamuziki
kutoka
Nigeria
- 20 Aprili
-
Bernard Katz
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1970
- 26 Aprili
-
Yun Hyon-seok
, mwandishi kutoka
Korea Kusini
- 28 Mei
-
Ilya Prigogine
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1977
- 30 Juni
-
Buddy Hackett
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 16 Julai
-
Carol Shields
, mwandishi kutoka
Marekani
- 22 Julai
-
Wahome Mutahi
,
mwandishi
kutoka
Kenya
- 4 Agosti
-
Frederick Robbins
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1954
)
- 30 Agosti
-
Charles Bronson
,
mwigizaji
filamu
kutoka
Marekani
- 3 Septemba
-
Alan Dugan
, mshairi kutoka
Marekani
- 12 Septemba
-
Johnny Cash
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 13 Oktoba
-
Bertram Brockhouse
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1994
- 20 Oktoba
-
Jack Elam
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: