Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
'
Ilya Prigogine
(
25 Januari
1917
?
28 Mei
2003
) alikuwa
mwanakemia
kutoka nchi ya
Ubelgiji
, ila alizaliwa nchini
Urusi
. Hasa alichunguza jinsi mfumo wa
ulimwengu
ukwepavyo hali ya kupoteza
nishati
. Mwaka wa
1977
alikuwa mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
.
|
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Ilya Prigogine
kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|