Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1993 BK
(
Baada ya Kristo
).
bila tarehe
- 6 Januari
-
Dizzy Gillespie
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 11 Februari
-
Robert Holley
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1968
- 20 Machi
-
Polykarp Kusch
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1955
- 24 Machi
?
John Hersey
,
mwandishi
wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
mwaka wa
1945
- 11 Aprili
-
Janet Bragg
,
rubani
wa kike
kutoka
Marekani
- 13 Aprili
?
Wallace Stegner
, mwandishi wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
, mwaka wa
1972
- 18 Aprili
-
Masahiko Kimura
,
mwanariadha
kutoka
Japani
- 24 Aprili
-
Oliver Tambo
,
mwanasiasa
kutoka
Afrika Kusini
- 19 Juni
-
William Golding
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1983
- 31 Oktoba
-
Federico Fellini
,
mwongozaji wa filamu
kutoka
Italia
- 1 Novemba
-
Severo Ochoa
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1959
- 7 Desemba
-
Wolfgang Paul
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1989
Wikimedia Commons ina media kuhusu: