Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
20 Oktoba
ni
siku
ya 293 ya
mwaka
(ya 294 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 72.
- 1740
-
Kaisari Karoli VI
wa
Ujerumani
- 1835
-
Tanomura Chikuden
,
mchoraji
Mjapani
- 1964
-
Herbert Hoover
,
Rais
wa
Marekani
(
1929
-
1933
)
- 1968
-
Archibald Jordan
,
mwandishi
na
mwanahistoria
wa
Afrika Kusini
- 1981
-
Mary Chase
, mwandishi kutoka
Marekani
- 1984
-
Paul Dirac
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1933
- 2003
-
Jack Elam
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
- 2004
-
Anthony Hecht
, mshairi kutoka
Marekani
- 2011
-
Muammar al-Gaddafi
, rais wa
Libya
(
1969
-
2011
)
- 2012
-
Donnall Thomas
,
daktari
kutoka
Marekani
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1990
- 2013
-
Julius Nyaisangah
, mtangazaji wa
redio
kutoka
Tanzania
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
akida Korneli
,
Kaprasi wa Agen
,
Sindolfi
,
Andrea Kalibita
,
Maria Bertila Boscardin
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
20 Oktoba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|