Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wahome Mutahi
(
24 Oktoba
1954
–
22 Julai
2003
) alikuwa
mwandishi
mpendwa sana katika
Kenya
. Aliitwa
Whispers
kama jina la "column" aliyoiandika kwa
The Daily Nation
.
Aliandika pia
tamthilia
na
vitabu
. Alikuwa mtu mwenye siasa, na mhakiki mkali, lakini kila wakati alitumia ucheshi.