Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
2004 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 13 Januari
-
Harold Shipman
,
daktari
na
muuaji
mfululizo kutoka
Uingereza
, alijiua
gerezani
- 15 Machi
-
John Pople
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1998
- 5 Juni
-
Ronald Reagan
,
Rais
wa
Marekani
(
1981
-
1989
)
- 1 Julai
-
Marlon Brando
,
mwigizaji
filamu
kutoka
Marekani
- 21 Julai
-
Edward Lewis
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1995
- 28 Julai
-
Francis Crick
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1962
- 6 Agosti
-
Donald Justice
, mshairi kutoka
Marekani
- 12 Agosti
-
Godfrey Hounsfield
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1979
- 14 Agosti
-
Czeslaw Milosz
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1980
)
- 15 Agosti
-
Sune Bergstrom
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1982
- 5 Oktoba
-
Maurice Wilkins
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1962
- 20 Oktoba
-
Anthony Hecht
, mshairi kutoka
Marekani
- 13 Novemba
-
Ol' Dirty Bastard
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 19 Novemba
-
John Vane
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1982
- 2 Desemba
-
Mona Van Duyn
, mshairi kutoka
Marekani
- 19 Desemba
-
Herbert Brown
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1979
- 29 Desemba
-
Julius Axelrod
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1970
Wikimedia Commons ina media kuhusu: