Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
2006 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 4 Januari
-
Maktoum bin Rashid Al Maktoum
,
Waziri Mkuu
wa
Umoja wa Falme za Kiarabu
na
mtawala
wa
Dubai
- 28 Februari
-
Owen Chamberlain
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1959
)
- 7 Machi
-
Gordon Parks
,
msanii
wa
Marekani
- 7 Machi
-
Ali Farka Toure
,
mwanamuziki
kutoka nchi ya
Mali
- 11 Machi
-
Slobodan Milosevic
,
Rais
wa
Serbia
(
1989
-
2000
)
- 20 Machi
-
Ali Muhsin al-Barwani
,
mwanasiasa
kutoka
Zanzibar
- 29 Machi
-
Moshi William
, mwanamuziki kutoka
Tanzania
- 19 Aprili
-
Ellen Kuzwayo
,
mwandishi
kutoka
Afrika Kusini
- 13 Mei
-
Peter Viereck
, mshairi kutoka
Marekani
- 14 Mei
-
Stanley Kunitz
, mshairi kutoka
Marekani
- 14 Mei
-
Robert Merrifield
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1984
- 31 Mei
-
Raymond Davis
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
2002
- 4 Julai
-
Lars Korvald
, mwanasiasa kutoka
Norwei
- 11 Agosti
-
Mazisi Kunene
, mwandishi kutoka
Afrika Kusini
- 19 Agosti
-
Joseph Hill
,
mwimbaji
kutoka
Jamaika
- 28 Agosti
-
Melvin Schwartz
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1988
)
- 30 Agosti
-
Nagib Mahfuz
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1988
)
- 9 Oktoba
-
Marek Grechuta
, mwanamuziki kutoka
Poland
- 12 Oktoba
-
Wanjiru Kihoro
, mwandishi kutoka
Kenya
- 31 Oktoba
-
Pieter Willem Botha
,
Waziri Mkuu
na Rais wa
Afrika Kusini
- 1 Novemba
-
William Styron
, mwandishi wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
mwaka wa
1968
- 26 Desemba
-
Gerald Ford
, Rais wa
Marekani
(
1974
-
1977
)
- 30 Desemba
-
Saddam Hussein
, rais wa
Iraki
hadi mwaka
2003
, ananyongwa baada ya kuhukumiwa
adhabu ya kifo
kwa makosa ya
jinai
dhidi ya
binadamu
Wikimedia Commons ina media kuhusu: