Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
2000 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 7 Februari
-
Big Pun
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 10 Februari
-
Jim Varney
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 14 Mei
-
Karl Shapiro
, mshairi kutoka
Marekani
- 19 Juni
-
Mary Benson
,
mwandishi
wa kike
wa
Afrika Kusini
- 4 Oktoba
-
Michael Smith
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
, mwaka wa
1993
- 15 Oktoba
-
Konrad Bloch
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1964
- 5 Novemba
-
Bibi Titi Mohammed
,
mwanasiasa
wa
Tanzania
- 17 Novemba
-
Louis Neel
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1970
- 3 Desemba
?
Gwendolyn Brooks
,
mwandishi
wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
, mwaka wa
1949
Wikimedia Commons ina media kuhusu: