Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
22 Desemba
ni
siku
ya 356 ya
mwaka
(ya 357 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 9.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Keremoni na wenzake
,
Iskirioni wa Aleksandria
,
Wafiadini thelathini wa Labicana
,
Wafiadini wa Raithu
,
Fransiska Saveri Cabrini
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
22 Desemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|