Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
24 Oktoba
ni
siku
ya 297 ya
mwaka
(ya 298 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 68.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Antonio Maria Claret
,
Siriaki na Klaudiani
,
Proklo wa Konstantinopoli
,
Aretha
,
Eberigisili
,
Maglori
,
Yosefu Le Dang Thi
,
Luiji Guanella
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
24 Oktoba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|