Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
12 Februari
ni
siku
ya
arubaini na tatu
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 322 (323 katika miaka mirefu).
- 1768
-
Kaisari Francis II
wa
Ujerumani
- 1809
-
Abraham Lincoln
,
Rais
wa
Marekani
(
1861
-
1865
)
- 1809
-
Charles Darwin
,
mwanasayansi
Mwingereza
- 1881
-
Hatcher Hughes
, mwandishi kutoka
Marekani
- 1893
-
Fred Albert Shannon
, mwanahistoria kutoka
Marekani
- 1912
-
Shaykh 'Abdullaah Swaalih Al-Farsy
,
mwanahistoria
kutoka
Zanzibar
(
Tanzania
)
- 1918
-
Julian Schwinger
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1965
- 1920
-
Pran
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Uhindi
- 1923
-
Alan Dugan
, mshairi kutoka
Marekani
- 1950
-
George Malima Lubeleje
,
mwanasiasa
wa
Tanzania
- 1961
-
Lucas Sang
,
mwanariadha
wa
Kenya
- 1962
-
Ali LeRoi
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
- 1980
-
Innocent Cornel Sahani
,
mwanamuziki
kutoka
Tanzania
- 1980
-
Christina Ricci
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Wafiadini wa Abitina
,
Melesyo wa Antiokia
,
Benedikto wa Aniane
,
Antoni Kauleas
,
Ludan
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
12 Februari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|