Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1988 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 2 Januari
-
Ruth Bosibori
,
mwanariadha
kutoka
Kenya
- 20 Februari
-
Rihanna
,
mwimbaji
kutoka
Barbados
- 2 Machi
-
Vito Mannone
,
mchezaji mpira
kutoka
Italia
- 1 Mei
-
Richa Adhia
, mwanamitindo kutoka
Tanzania
- 9 Juni
-
Flaviana Matata
, mwanamitindo kutoka
Tanzania
- 19 Julai
-
Shane Dawson
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 19 Julai
-
Ayo Yusuf
, mwimbaji kutoka
Nigeria
- 11 Agosti
-
Angel Kamugisha
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Tanzania
- 28 Septemba
-
Wema Sepetu
,
mrembo
wa
Tanzania
mwaka wa
2006
- 9 Novemba
-
Cali Sweets
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 12 Desemba
-
Brian Umony
, mchezaji wa mpira kutoka
Uganda
- 17 Desemba
-
David Rudisha
, mwanariadha wa
Kenya
- 19 Desemba
-
Alexis Sanchez
, mchezaji wa mpira kutoka
Chile
- 27 Desemba
-
Hayley Williams
,
mwanamuziki
wa
Marekani
bila tarehe
- 11 Januari
-
Isidor Rabi
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1944
- 15 Februari
-
Richard Feynman
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1965
- 19 Februari
-
Andre Cournand
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1956
- 9 Machi
-
Kurt Georg Kiesinger
,
Chansela
wa
Ujerumani
(
1966
-
1969
)
- 9 Aprili
-
Brook Benton
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 12 Aprili
?
Alan Paton
, mwandishi wa
Afrika Kusini
- 5 Mei
-
Michael Shaara
, mwandishi kutoka
Marekani
- 27 Mei
-
Ernst Ruska
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1986
- 1 Septemba
-
Luis Alvarez
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1968
- 21 Desemba
-
Nikolaas Tinbergen
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1973
Wikimedia Commons ina media kuhusu: