Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
9 Machi
ni
siku
ya
68
ya
mwaka
(ya 69 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 297.
- 1440
- Mtakatifu
Fransiska wa Roma
, mtawa kutoka
Italia
- 1463
- Mtakatifu
Katerina wa Bologna
,
bikira
Mfransisko
kutoka Italia
- 1857
- Mtakatifu
Dominiko Savio
,
kijana
wa Italia
- 1888
-
Kaisari Wilhelm I
,
mfalme
wa
Prussia
na
Kaisari
wa
Ujerumani
- 1964
-
Paul von Lettow-Vorbeck
, mwanajeshi wa
Dola la Ujerumani
, hasa nchini
Tanzania
- 1974
-
Earl Sutherland
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1971
- 1981
-
Max Delbruck
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1969
- 1983
-
Ulf von Euler
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1970
- 1988
-
Kurt Georg Kiesinger
,
Chansela
wa
Ujerumani
(
1966
-1969)
- 1997
-
The Notorious B.I.G.
, mwanamuziki kutoka
Marekani
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Fransiska wa Roma
,
Askari wafiadini wa Kapadokia
,
Pasiano
,
Vitale wa Castronovo
,
Bruno wa Querfurt
,
Katerina wa Bologna
,
Dominiko Savio
,
Petro Ch'oe Hyong
na
Yohane Mbatizaji Chon Chang-un
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
9 Machi
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|