Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
29 Mei
ni
siku
ya 149 ya
mwaka
(ya 150 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 216.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Papa Paulo VI
,
Esikyo wa Antiokia
,
Masimino wa Trier
,
Sisini na wenzake
,
Esuperansi wa Ravenna
,
Senatori wa Milano
,
Jeradi wa Macon
,
Bona wa Pisa
,
Ursula Ledochowska
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
29 Mei
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|