Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
9 Mei
ni
siku
ya 129 ya
mwaka
(ya 130 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 236.
- 1921
-
Mona Van Duyn
, mshairi kutoka
Marekani
- 1927
-
Manfred Eigen
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1967
- 1936
-
Ernest Shonekan
,
Rais
wa
Nigeria
(
1993
)
- 1938
-
Charles Simic
, mshairi kutoka
Marekani
- 1947
-
Michael Levitt
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2013
- 1950
-
Jorie Graham
, mshairi kutoka
Marekani
- 1953
-
Bernard Kamilius Membe
,
mwanasiasa
wa
Tanzania
- 1955
-
Meles Zenawi
,
Waziri Mkuu
wa
Ethiopia
- 1957
-
Beatus Kinyaiya
,
askofu
Mkatoliki
nchini
Tanzania
- 1970
-
Ghostface Killah
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 1972
-
AZ
, mwanamuziki kutoka
Marekani
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Nabii Isaya
,
Herma wa Roma
,
Pakomi
,
Wafiadini mia tatu na kumi wa Uajemi
,
Denisi wa Vienne
,
Geronsi wa Cervia
,
Beatus wa Vendome
,
Yosefu Do Quang Hien
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
9 Mei
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|