Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
15 Machi
ni
siku
ya
74
ya
mwaka
(ya 75 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 291.
- 1713
-
Nicolas-Louis de Lacaille
,
mwanaastronomia
kutoka
Ufaransa
- 1760
-
Mtakatifu
Yohane wa Triora
,
padre
Mfransisko
,
mmisionari
na
mfiadini
nchini
Uchina
- 1767
-
Andrew Jackson
,
Rais
wa
Marekani
1829
-
1837
- 1830
-
Paul Heyse
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1910
- 1831
- Mtakatifu
Daniele Comboni
,
mmisionari
na
askofu
Mkatoliki
nchini
Sudan
- 1854
-
Emil von Behring
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1901
- 1871
-
Charles Howard McIlwain
, mwanahistoria kutoka
Marekani
- 1920
-
Donnall Thomas
,
daktari
kutoka
Marekani
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1990
- 1930
-
Martin Karplus
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
, mwaka wa
2013
- 1946
-
Hezekiah Ndahani Chibulunje
,
mwanasiasa
wa
Tanzania
- 1952
-
Willy Puchner
,
msanii
kutoka
Austria
- 1975
-
Eva Longoria
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Marekani
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Menigni
,
Papa Zakaria
,
Leokrisya
,
Sisebuto
,
Luisa wa Marillac
,
Klemens Maria Hofbauer
,
Artemis Zatti
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
15 Machi
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|