Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1932 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 6 Februari
-
Simeon Nyachae
, mwanasiasa kutoka
Kenya
- 26 Februari
-
Johnny Cash
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 4 Machi
-
Miriam Makeba
, mwanamuziki kutoka
Afrika Kusini
- 18 Machi
-
John Updike
, mwandishi kutoka
Marekani
- 31 Machi
-
Walter Gilbert
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1980
- 26 Aprili
-
Michael Smith
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
, mwaka wa
1993
- 11 Juni
-
Athol Fugard
, mwandishi wa
Afrika Kusini
- 18 Juni
-
Dudley Herschbach
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1986
- 2 Agosti
-
Peter O'Toole
, mwigizaji wa filamu kutoka
Eire
- 17 Agosti
-
Vidiadhar Naipaul
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
2001
- 17 Agosti
-
Abebe Bikila
, mwanariadha
Mhabeshi
)
- 18 Agosti
-
Luc Montagnier
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2008
- 24 Oktoba
-
Pierre de Gennes
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1991
- 27 Oktoba
-
Sylvia Plath
, mshairi wa
Marekani
- 2 Novemba
-
Melvin Schwartz
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1988
- 5 Desemba
-
Sheldon Glashow
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1979
Wikimedia Commons ina media kuhusu: