Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
4 Machi
ni
siku
ya
63
ya
mwaka
(ya 64 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 302.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Kasimiri
,
Fosyo, Arkelao, Kwirino na wenzao
,
Basino wa Trier
,
Apiano wa Comacchio
,
Petro va Cava
,
Yohane Antoni Farina
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
4 Machi
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|