Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
7 Machi
ni
siku
ya
66
ya
mwaka
(ya 67 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 299.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Perpetua
na
Felisita
,
Saturus
,
Saturninus
,
Revokatus
,
Sekondinus
,
Eubulo wa Kaisarea
,
Basili, Eujeni na wenzao
,
Paulo Mnyofu
,
Gaudioso wa Brescia
,
Ardo Smaragdo
,
Paulo wa Prusa
,
Teresa Margerita Redi
,
Maria Antonia wa Mt. Yosefu
,
Yohane Mbatizaji Nam Chong-sam
,
Simeoni-Fransisko Berneux
,
Yusto Ranfer
,
Ludoviko Beaulieu
,
Petro Henri Dorie
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
7 Machi
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|