Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
6 Juni
ni
siku
ya 157 ya
mwaka
(ya 158 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 208.
- 1799
-
Aleksander Pushkin
,
mwandishi
kutoka
Urusi
- 1875
-
Thomas Mann
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
mwaka wa
1929
- 1918
-
Edwin Krebs
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1992
- 1925
-
Maxine Kumin
, mshairi kutoka
Marekani
- 1933
-
Heinrich Rohrer
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1986
- 1943
-
Richard Smalley
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1996
- 1944
-
Phillip Sharp
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1993
- 1952
-
Ibrahim Lipumba
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 1959
-
Jimmy Jam
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 1972
-
Peter Joseph Serukamba
,
mwanasiasa
wa
tanzania
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Norbert wa Xanten
,
Artemi na Paulina
,
Besarioni wa Misri
,
Serati
,
Eustoji II
,
Yarilati
,
Klaudi wa Condat
,
Aleksanda wa Fiesole
,
Hilarioni Kijana
,
Kolmani wa Orkney
,
Gilbati wa Neuffonts
,
Marselino Champagnat
,
Petro Dung
,
Petro Thuan
,
Visenti Duong
,
Rafaeli Guizar
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
6 Juni
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|