Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
2012 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 19 Januari
-
Jeremiah Solomon Sumari
,
mwanasiasa
kutoka
Tanzania
- 11 Februari
-
Whitney Houston
,
mwimbaji
na
mwigizaji
filamu
kutoka
Marekani
- 31 Machi
-
Cosmas Desmond
,
mwandishi
wa
Afrika Kusini
- 7 Aprili
-
Steven Kanumba
, mwigizaji wa filamu kutoka
Tanzania
- 25 Aprili
-
Paul L. Smith
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 10 Juni
-
George Saitoti
, mwanasiasa kutoka
Kenya
- 24 Julai
-
Sherman Hemsley
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 20 Agosti
-
Meles Zenawi
,
Waziri mkuu
wa
Ethiopia
(1995-2012)
- 20 Agosti
-
Phyllis Diller
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 28 Agosti
-
William Pascal Kikoti
,
askofu
Mkatoliki
kutoka
Tanzania
- 3 Septemba
-
Michael Clarke Duncan
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 14 Septemba
-
Louis Simpson
, mshairi kutoka
Marekani
- 29 Septemba
-
Hebe Camargo
, mwimbaji na mwigizaji wa filamu kutoka
Brazil
- 20 Oktoba
-
Donnall Thomas
,
daktari
kutoka
Marekani
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1990
- 21 Oktoba
-
George McGovern
, mwanasiasa kutoka
Marekani
- 6 Novemba
-
Aloysius Balina
,
askofu
Mkatoliki
nchini
Tanzania
- 6 Novemba
-
Clive Dunn
, mwigizaji wa filamu kutoka
Uingereza
- 26 Novemba
-
Joseph Murray
, daktari kutoka
Marekani
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1990
- 5 Desemba
-
Dave Brubeck
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 30 Desemba
-
Rita Levi-Montalcini
, daktari kutoka
Italia
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1986
Wikimedia Commons ina media kuhusu: