Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Maria Bertila Boscardin
(
Brendola
,
6 Oktoba
1888
?
Treviso
,
20 Oktoba
1922
) alikuwa
bikira
wa
Italia kaskazini
ambaye, kisha kujiunga na shirika la
kitawa
, alihudumia
wagonjwa
kwa
upendo
wa ajabu.
Alitangazwa
Mwenye heri
na
Papa Pius XII
tarehe
8 Juni
1952
, halafu
mtakatifu
na
Papa Yohane XXIII
tarehe
11 Mei
1961
.
Sikukuu
yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya
kifo
chake
[1]
.
- Attwater, Donald and Catherine Rachel John.
The Penguin Dictionary of Saints
. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993.
ISBN 0-14-051312-4
.
|
Makala hii bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuiongezea habari
.
|