Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
26 Januari
ni
siku
ya
ishirini na sita
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 339 (340 katika miaka mirefu).
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Timotheo
na
Tito
,
Theogene
,
Paula wa Roma
,
Senofonte, Maria na wanao
,
Alberiko wa Citeaux
,
Augustino Erlandsson
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
26 Januari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|