Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
22 Februari
ni
siku
ya
hamsini na tatu
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 312 (313 katika miaka mirefu).
- 1732
-
George Washington
,
Rais
wa kwanza wa
Marekani
- 1788
-
Arthur Schopenhauer
,
mwanafalsafa
wa
Ujerumani
- 1810
-
Frederic Chopin
,
mtunzi
wa
muziki
kutoka
Poland
- 1863
-
Charles McLean Andrews
, mwanahistoria kutoka
Marekani
- 1892
-
Edna St. Vincent Millay
, mshairi wa kike kutoka
Marekani
- 1914
-
Renato Dulbecco
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1975
- 1921
-
Jean Bedel Bokassa
, Rais (
1966
-
1976
) na
Kaisari
(1976-
1979
) wa
Jamhuri ya Afrika ya Kati
- 1936
-
Michael Bishop
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1989
- 1952
-
Kipkalya Kones
,
mwanasiasa
wa
Kenya
- 1953
-
Viktor Kozin
,
mhandisi
wa
meli
kutoka
Urusi
- 1962
-
Steve Irwin
- 1984
-
Shukuru Kilala
,
muigizaji
wa
filamu
kutoka
Tanzania
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
sikukuu
ya
Ukulu wa Mt. Petro
, lakini pia
kumbukumbu
za
watakatifu
Papia wa Yerapoli
,
Paskasi wa Vienne
,
Masimiano wa Ravenna
,
Margerita wa Cortona
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
22 Februari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|