Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1926 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 5 Januari
-
W. D. Snodgrass
, mshairi kutoka
Marekani
- 29 Januari
-
Abdus Salam
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1979
- 27 Februari
-
David Hubel
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1981
- 3 Machi
-
James Merrill
, mshairi kutoka
Marekani
- 24 Machi
-
Dario Fo
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1997
- 21 Aprili
-
Elizabeth II
, Malkia wa
Uingereza
- 28 Aprili
-
Harper Lee
, mwandishi kutoka
Marekani
- 25 Mei
-
Miles Davis
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 27 Mei
-
Rashidi Kawawa
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 1 Juni
-
Marilyn Monroe
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 19 Juni
-
Antoni Gaudi
, msanifu majengo wa
Hispania
- 30 Juni
-
Paul Berg
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1980
- 9 Julai
-
Ben Mottelson
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1975
- 16 Julai
-
Irwin Rose
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2004
- 11 Agosti
-
Aaron Klug
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1982
- 13 Agosti
-
Fidel Castro
, Rais wa
Kuba
- 3 Septemba
-
Alison Lurie
, mwandishi kutoka
Marekani
- 21 Septemba
-
Donald A. Glaser
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1960
- 23 Septemba
-
John Coltrane
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 18 Oktoba
-
Klaus Kinski
, mwigizaji filamu kutoka
Ujerumani
- 25 Novemba
-
Tsung-Dao Lee
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1957
- 30 Novemba
-
Andrew Schally
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1977
- 9 Desemba
-
Henry Kendall
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1990
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: