Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
13 Septemba
ni
siku
ya 256 ya
mwaka
(ya 257 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 109.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Yohane Krisostomo
,
Juliani wa Ankara
,
Kutabaruku
Basilika
la
Kaburi takatifu
huko
Yerusalemu
,
Litori wa Tours
,
Emiliani wa Valence
,
Marselino wa Karthago
,
Maurili
,
Amato wa Habend
,
Veneri
,
Amato wa Sion
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
13 Septemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|