Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rene Descartes
(
31 Machi
1596
?
1 Februari
1650
) alikuwa
mwanafalsafa
,
mwanahisabati
na
mwanafizikia
mashuhuri katika
Ufaransa
.
Katika falsafa alijulikana kwa tamko lake "cogito ergo sum" (
Kilatini
: Ninafikiri hivyo niko; au: Nina hakika ya kwamba niko kwa sababu najikuta nikitafakari).
Alieleza nadharia yake katika kitabu "Discours de la methode pour bien conduire sa raison et chercher la verite dans les sciences" (
tafsiri kamili: "Majadiliano juu ya mbinu jinsi gani kutumia akili vizuri na kutafuta ukweli katika sayansi")
.
Katika hisabati akumbukwa kama mwanzilishaji wa
mfumo majira
.
Athira yake ilikuwa kubwa kwa karne nyingi hata pale ambako matokeo ya nadharia zake yalifutwa baadaye.