Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
6 Januari
ni
siku
ya
sita
ya
mwaka
. Mpaka uishe zinabaki siku 359 (360 katika miaka mirefu).
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
sherehe
ya
Epifania
lakini pia
kumbukumbu
za
watakatifu
Juliani na Basilisa
,
Felisi wa Nantes
,
Petro Tomaso
,
Andrea Corsini
,
Yohane wa Ribera
,
Karolo wa Sezze
,
Rafaela Maria wa Moyo Mtakatifu
,
Andrea Bessette
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
6 Januari
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|