Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
24 Juni
ni
siku
ya 175 ya
mwaka
(ya 176 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 190.
- 1386
-
Mtakatifu
Yohane wa Kapestrano
,
padri
wa shirika la
Ndugu Wadogo
kutoka
Italia
- 1883
-
Victor Hess
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1936
- 1893
-
Jan Matejko
,
mchoraji
kutoka
Poland
- 1927
-
Martin Perl
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1995
- 1936
-
Paul L. Smith
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Marekani
- 1953
-
William Moerner
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2014
- 1953
-
Aloyce Bent Kimaro
,
mwanasiasa
wa
Tanzania
- 1960
-
Siedah Garrett
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 1977
-
Amir Talai
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 1983
-
John Lloyd Cruz
, mwigizaji wa filamu kutoka
Ufilipino
- 1987
-
Lionel Messi
,
mchezaji wa mpira
kutoka
Argentina
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
sherehe
ya kuzaliwa
mtakatifu
Yohane Mbatizaji
, lakini pia
kumbukumbu
za
watakatifu
Yohane na Festo
,
Simplisi wa Autun
,
Agoardi na wenzake
,
Rumoldi wa Mechelen
,
Teodolfi
,
Goardo na wenzake
,
Theodgari
,
Yosefu Yuan Zaide
,
Maria Guadalupe Garcia
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
24 Juni
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|