Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
2010 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 4 Januari
-
Paulo Ahyi
,
msanii
aliyeunda
bendera
ya
Togo
- 5 Januari
-
Beverly Aadland
,
mwigizaji
wa
filamu
kutoka
Marekani
- 12 Januari
-
Zilda Arns
,
daktari wa watoto
kutoka nchi ya
Brazil
- 22 Machi
-
James Black
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1988
)
- 19 Aprili
-
Guru
,
mwanamuziki
kutoka
Marekani
- 5 Mei
-
Umaru Yar'Adua
,
Rais
wa
Nigeria
(
2007
-
2010
)
- 29 Mei
-
Dennis Hopper
, msanii wa
Marekani
- 7 Juni
-
Oliver N'Goma
,
mwanamuziki
kutoka
Gabon
- 18 Juni
-
Jose Saramago
(mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1998
)
- 5 Septemba
-
Lewis Nkosi
,
mwandishi wa habari
kutoka
Afrika Kusini
- 23 Oktoba
-
George Cain
,
mwandishi
wa
Marekani
- 13 Desemba
-
Remmy Ongala
, mwanamuziki kutoka
Tanzania
- 17 Desemba
-
Captain Beefheart
, mwanamuziki kutoka
Marekani
Wikimedia Commons ina media kuhusu: