Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1952 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 1 Februari
-
Roger Tsien
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2008
- 22 Februari
-
Kipkalya Kones
, mwanasiasa wa
Kenya
- 25 Februari
-
Mohamed Said
, mwandishi kutoka
Tanzania
- 15 Machi
-
Willy Puchner
, msanii kutoka
Austria
- 10 Aprili
-
Steven Seagal
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 11 Mei
-
Mary Nagu
, mwanasiasa wa
Tanzania
- 14 Mei
-
David Byrne
, mwanamuziki wa
Marekani
- 6 Juni
-
Ibrahim Lipumba
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 7 Juni
-
Orhan Pamuk
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
mwaka wa
2006
- 7 Juni
-
Liam Neeson
, mwigizaji wa filamu kutoka
Ireland
- 1 Julai
-
Brian George
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 8 Agosti
-
Jostein Gaarder
, mwandishi
Mnorwei
- 18 Agosti
-
Patrick Swayze
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 28 Agosti
-
Rita Dove
, mshairi kutoka
Marekani
- 6 Novemba
-
Michael Cunningham
, mwandishi kutoka
Marekani
- 9 Novemba
-
Jack Szostak
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2009
- 9 Desemba
-
Ludovic Minde
, askofu
Mkatoliki
nchini
Tanzania
- 27 Desemba
-
Salome Joseph Mbatia
, mwanasiasa wa kike kutoka
Tanzania
bila tarehe
- 6 Februari
- Mfalme
George VI wa Uingereza
- 19 Februari
-
Knut Hamsun
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
, mwaka wa
1920
- 22 Februari
-
Kaarlo Juho Stahlberg
, Rais wa
Ufini
- 4 Machi
-
Charles Scott Sherrington
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1932
- 6 Mei
-
Maria Montessori
, daktari na mwalimu kutoka
Italia
- 18 Agosti
- Mtakatifu
Alberto Hurtado
, padre Mkatoliki kutoka
Chile
- 29 Septemba
-
George Santayana
, mwanafalsafa na mwandishi kutoka
Hispania
na
Marekani
- 30 Septemba
- Viscount
Waldorf Astor
- 28 Oktoba
-
Billy Hughes
, Waziri Mkuu wa
Australia
- 9 Novemba
-
Chaim Weizmann
, Rais wa
Israel
- 18 Novemba
-
Paul Eluard
, mshairi Mfaransa
- 26 Novemba
-
Sven Hedin
, mpelelezi wa Asia ya Kati kutoka
Sweden
Wikimedia Commons ina media kuhusu: