Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
19 Desemba
ni
siku
ya 353 ya
mwaka
(ya 354 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 12.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Papa Anastasio I
,
Gregori wa Auxerre
,
Fransisko Ha Thong Mau
,
Dominiko Buy Van Uy
,
Thomas Nguyen Van De
,
Augustino Nguyen Van Moi
,
Stefano Nguyen Van Vinh
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
19 Desemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|