Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1947 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 15 Januari
-
Martin Chalfie
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2008
- 29 Januari
-
Linda Buck
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2004
- 4 Februari
-
Dan Quayle
, Kaimu Rais wa
Marekani
- 12 Machi
-
Mitt Romney
, mwanasiasa kutoka
Marekani
- 25 Machi
-
Elton John
, mwanamuziki kutoka
Uingereza
- 26 Machi
-
Subhash Kak
, mwanafizikia na mwandishi kutoka
Uhindi
- 5 Aprili
-
Gloria Arroyo
, Rais wa
Ufilipino
- 13 Aprili
-
Rae Armantrout
, mshairi kutoka
Marekani
- 18 Aprili
-
James Woods
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
- 24 Aprili
-
Roger Kornberg
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2006
- 28 Aprili
-
William Shija
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 8 Mei
-
Robert Horvitz
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2002
- 9 Mei
-
Michael Levitt
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2013
- 8 Juni
-
Eric Wieschaus
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1995
- 20 Julai
-
Gerd Binnig
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
, mwaka wa
1986
- 30 Julai
-
Francoise Barre-Sinoussi
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2008
- 31 Julai
-
Richard Griffiths
, mwigizaji wa filamu kutoka
Uingereza
- 7 Agosti
-
Sofia Rotaru
, mwimbaji wa
Urusi
- 3 Septemba
-
Kjell Magne Bondevik
,
Waziri mkuu
wa
Norwei
(1997-2000; 2001-2005)
- 8 Septemba
-
Amos Biwott
, mwanariadha wa
Olimpiki
kutoka
Kenya
- 20 Septemba
-
Juma Jamaldin Akukweti
, mwanasiasa wa
Tanzania
- 1 Oktoba
-
Aaron Ciechanover
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2004
- 3 Oktoba
-
Feetham Filipo Banyikwa
, mwanasiasa wa
Tanzania
- 26 Oktoba
-
Hillary Clinton
, Seneta wa jimbo la
New York
,
Marekani
- 13 Novemba
-
Joe Mantegna
, mwigizaji filamu kutoka
Marekani
- 8 Desemba
-
Thomas Cech
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1989
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: