Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kijapani
(日本語
"nihon-go" au "nippon-go"
) ni
lugha rasmi
nchini
Japani
. Kinatumiwa na
Wajapani
karibu wote isipokuwa kundi dogo la
Waainu
wana
lugha
yao.
Kwa jumla kuna wasemaji
milioni
124, karibu wote wakiishi nchini Japan. Kutokana na
uhamiaji
kuna takriban wasemaji 420,000 nchini
Marekani
(zaidi ya
nusu
wako
Hawaii
) na 380,000 huko
Brazil
.
Wataalamu
hawakubaliani kuhusu
historia
ya lugha. Lugha ya karibu ya pekee ni lugha za
visiwa
vya
Ryukyu
.
Kijapani kinafanana kiasi na
Kikorea
na kwa kawaida nyingi kimepangwa katika
jamii
ya
lugha za Kialtai
. Lakini kuna
tabia
kadhaa katika Japani ya kale zisizolingana na
Kialtai
, hivyo
majadiliano
ya kitaalamu yaendelea.
Lugha imepokea maneno mengi kutoka
Kichina
.
Kuna namna tatu ya kuandika:
- hiragana
(ひらがな) ni mwandiko wa kawaida. Alama zake zinaonyesha
silabi
. Watoto wote wanaanza kujifunza kuandika na kusoma kwa hiragana.
- katakana
(カタカナ) ni mwandiko wa silabi pia lakini inatumiwa wa njia maalumu. Kama neno linatakiwa kuangaliwa hasa inaoanyeshwa kwa kutumia alama za katakana (kama maandishi manene au ya kiitaliki). Vilevile hutumiwa kwa maneno yasiyo kawaida kama maneno ya kisayansi au maneno ya kigeni.
- kanji
(漢字) ni alama za asili ya kichina na kila alama ni neno zima si silabi tu. Kijapanai inatumia alama 2,000 za aina hii.
Inawezekana kuandika Kijapani kwa njia mbili:
a) kama
Kiswahili
cha kisasa kuanzia upande wa kushoto kwenda kulia
b) Kuanzia juu kwenda chini kwa kutumia nhuzo.
Inayofuata ni mifano ya maneno ya Kijapani:
- こんにちは (
konnichiwa
) : Habari zako! (wakati wa mchana)
- さようなら (
say?nara
) : kwa heri
- はい (
hai
) : ndiyo
- いいえ (
?e
) : hapana
- キリスト? (
Kirisuto-ky?
) :
Ukristo
- イスラム? (
Isuramu-ky?
), イスラ?ム?(
Isur?mu-ky?
) :
Uislamu
- ?? (
Bu-kky?
) :
Ubuddha
- 神道 (
Shint?
) :
Shinto
- ヒンドゥ?? (
Hindw?-ky?
), ヒンズ?? (
Hinz?-ky?
) :
Uhindu
- ブルンジ (
Burunji
), ブルンジ共和? (
Burunji ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Burundi
- ケニア (
Kenia
) , ケニヤ (
Keniya
), ケニア共和? (
Kenia ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Kenya
- コモロ (
Komoro
), コモロ連合 (
Komoro reng?
) :
Umoja wa Komori
- コンゴ民主共和? (
Kongo minshu ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- マヨット (
Mayotto
) :
Kisiwa cha Mahore
- マラウイ (
Maraui
), マラウイ共和? (
Maraui ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Malawi
- モザンビ?ク (
Mozanb?ku
), モザンビ?ク共和? (
Mozanb?ku ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Msumbiji
- ルワンダ (
Ruwanda
), ルワンダ共和? (
Ruwanda ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Rwanda
- ソマリア (
Somaria
) :
Somalia
- タンザニア (
Tanzania
), タンザニヤ (
Tanzaniya
), タンザニア連合共和? (
Tanzania reng? ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
- ウガンダ (
Uganda
), ウガンダ共和? (
Uganda ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Uganda
- 日本 (
Nihon
au
Nippon
), 日本? (
Nihon koku
au
Nippon koku
) :
Ujapani
,
Japani
- アメリカ(?米利加) (
Amerika
), 米? (
B?-koku
), アメリカ合衆? (
Amerika gassh?koku
) :
Marekani
, Muungano wa Madola ya Amerika
- 中? (
Chuugoku
), 中華人民共和? (
Ch?ka jinmin ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Watu wa China
- フランス(?蘭西) (
Furansu
), ?? (
Futsu-koku
), フランス共和? (
Furansu ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Kifaransa
- イギリス(英吉利) (
Igirisu
), 英? (?-koku), グレ?トブリテンおよび北アイルランド連合王? (
Gur?to Buriten oyobi Kita Airurando reng? ?koku
) :
Ufalme wa Muungano wa Britania na Eire ya Kaskazini
- ロシア(露西?) (
Roshia
), ロシヤ (
Roshiya
), ロシア連邦 (
Rosia renp?
) :
Shirikisho la Urusi
- アルゼンチン(?爾然丁) (
Aruzenchin
), アルゼンチン共和? (
Aruzenchin-ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Argentina
- オ?ストラリア(濠太剌利) (
?sutoraria
), オ?ストラリヤ (
?sutorariya
), オ?ストラリア連邦(
?sutoraria renp?
) :
Jumuiya ya Australia
- ブラジル(伯剌西爾) (
Burajiru
), ブラジル連邦共和? (
Burajiru renp? ky?wakoku
) :
Shirikisho la Jamhuri ya Brazil
- カナダ(加奈陀) (
Kanada
) :
Kanada
- ドイツ(?逸) (
Doitsu
), ドイツ連邦共和? (
Doitsu renp? ky?wakoku
) :
Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani
- インド(印度) (
Indo
) :
Jamhuri ya Uhindi
- インドネシア(印度尼西?) (
Indoneshia
), インドネシヤ (
Indoneshiya
), インドネシア共和? (
Indoneshia ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Indonesia
- イタリア (伊太利?) (
Itaria
), イタリヤ (
Itariya
), イタリア共和? (
Itaria ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Italia
- メキシコ(墨西哥) (
Mekishiko
), メキシコ合衆? (
Mekishiko gassh?koku
) :
Maungano a Madola ya Mexiko
- サウジアラビア (
Sauji arabia
), サウジアラビア王? (
Sauji arabia ?koku
) :
Ufalme wa Uarabuni wa Saudia
- 南アフリカ共和?(南阿弗利加共和?) (
Minami Afurika ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Afrika Kusini
- 韓? (
Kan-koku
), 大韓民? (
Dai Kan minkoku
) :
Jamhuri ya Korea
- トルコ(土耳古) (
Toruko
), トルコ共和? (
Toruko ky?wakoku
) :
Jamhuri ya Uturuki