Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1951 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 3 Februari
-
Blaise Compaore
, Rais wa
Burkina Faso
- 27 Aprili
-
Mario Das Neves
, mwanasiasa wa
Argentina
- 18 Mei
-
Bernard Feringa
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2016
- 23 Mei
-
Philippe Van Parijs
, mwanafalsafa kutoka
Ubelgiji
- 30 Mei
-
Mathias Chikawe
, mwanasiasa wa
Tanzania
na Waziri wa Sheria (2005-2010)
- 10 Juni
-
Isaac Amani Massawe
, askofu
Mkatoliki
nchini
Tanzania
- 13 Juni
-
Peter Balakian
, mshairi kutoka
Marekani
- 20 Juni
-
Paul Muldoon
, mshairi kutoka
Marekani
- 30 Juni
-
Stanley Clarke
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 23 Julai
-
Edie McClurg
, mwigizaji wa filamu kutoka
Marekani
- 28 Julai
-
Santiago Calatrava
, msanifu majengo na mhandisi kutoka
Hispania
- 16 Agosti
-
Umaru Musa Yar'Adua
, Rais wa
Nigeria
(2007-2010)
- 24 Agosti
-
Oscar Hijuelos
, mwandishi kutoka
Marekani
- 30 Agosti
-
Khamis Suedi Kagasheki
, mwanasiasa kutoka
Tanzania
- 14 Septemba
-
Frederick Duncan Michael Haldane
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
2016
- 30 Septemba
-
Barry Marshall
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2005
- 19 Oktoba
-
Philly Lutaaya
, mwanamuziki kutoka
Uganda
- 25 Oktoba
-
Ingeborg Schwenzer
, mwanasheria kutoka
Ujerumani
- 1 Desemba
-
Jaco Pastorius
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 29 Desemba
-
Philip Sang'ka Marmo
, mwanasiasa wa
Tanzania
Wikimedia Commons ina media kuhusu: