Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1927 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 13 Januari
-
Sydney Brenner
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
2002
- 1 Februari
-
Galway Kinnell
, mshairi kutoka
Marekani
- 12 Machi
-
Raul Alfonsin
,
rais
wa
Argentina
(1983-1989)
- 29 Machi
-
John Vane
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1982
- 7 Aprili
-
Babatunde Olatunji
, mwanamuziki kutoka
Nigeria
- 10 Aprili
-
Marshall Nirenberg
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1968
- 14 Aprili
-
Alan MacDiarmid
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
2000
- 20 Aprili
-
Karl Alexander Muller
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1987
- 9 Mei
-
Manfred Eigen
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1967
- 22 Mei
-
George Olah
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
, mwaka wa
1994
- 24 Juni
-
Martin Perl
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fizikia
mwaka wa
1995
- 28 Juni
-
Sherwood Rowland
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Kemia
mwaka wa
1995
- 28 Julai
-
John Ashbery
, mshairi kutoka
Marekani
- 30 Septemba
-
William S. Merwin
, mshairi kutoka
Marekani
- 8 Oktoba
-
Cesar Milstein
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
, mwaka wa
1984
- 14 Oktoba
-
Roger Moore
, mwigizaji filamu kutoka
Uingereza
- 16 Oktoba
-
Gunter Grass
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Fasihi
mwaka wa
1999
- 13 Desemba
-
James Wright
, mshairi kutoka
Marekani
bila tarehe
Wikimedia Commons ina media kuhusu: