Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Arizona
ni
jimbo
la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au
Marekani
. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 6,500,180 (
2006
) wanaokalia eneo la 295,254
km²
ambalo sehemu kubwa ni milima na jangwa. Mji mkuu na mji mukubwa jimboni ni
Phoenix
. Imepakana na
Utah
,
New Mexico
(Meksiko Mpya),
Mexiko
(
Sonora
na
Baja California
),
California
na
Nevada
. Kuna lugha rasmi 3:
Kiingereza
(74.1%),
Kihispania
(19.5%) na
Kinavaho
(1.9%).
State of Arizona Official Website
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
|
Makala hii kuhusu maeneo ya
Marekani
bado ni
mbegu
.
Je unajua kitu kuhusu
Arizona
kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|