Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
25 Juni
ni
siku
ya 176 ya
mwaka
(ya 177 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 189.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Masimo wa Torino
,
Prospa wa Akwitania
,
Prospa wa Reggio
,
Tigre
,
Moluag
,
Eurosia wa Jaca
,
Adalberto wa Egmond
,
Solomoni wa Bretagne
,
Wiliamu wa Vercelli
,
Dominiko Henares
,
Fransisko Do Minh Chieu
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
25 Juni
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|