Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
25 Julai
ni
siku
ya 206 ya
mwaka
(ya 207 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 159.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
sikukuu
ya
mtakatifu
Yakobo Mkubwa
, lakini pia
kumbukumbu
za watakatifu
Kristofa wa Lisia
,
Kukufas
,
Valentina, Thea na Paulo
,
Olimpia wa Konstantinopoli
,
Magneriki
,
Beato na Banto
,
Glodesinda
,
Teodomiro wa Carmona
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
25 Julai
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|