Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
21 Septemba
ni
siku
ya 264 ya
mwaka
(ya 265 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 101.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
sikukuu
ya
Mtume Mathayo
, na
kumbukumbu
za
watakatifu
nabii Yona
,
Kwadrato wa Athens
,
Pamfili wa Roma
,
Aleksanda wa Roma
,
Eusebi, Nestabo na wenzao
,
Fransisko Jaccard
,
Thomas Tran Van Thien
,
Laurenti Imbert
,
Petro Maubant
,
Yakobo Chastan
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
21 Septemba
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|