Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
20 Mei
ni
siku
ya 140 ya
mwaka
(ya 141 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 225
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Bernardino wa Siena
,
Lidia wa Thiatira
,
Aurea wa Ostia
,
Baudeli
,
Talalei
,
Lusiferi wa Cagliari
,
Hilari wa Toulouse
,
Austregesili
,
Anastasi wa Brescia
,
Theodori wa Pavia
,
Protasi Chong Kukbo
,
Arkanjelo Tadini
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
20 Mei
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|