Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii inahusu
mwaka
1909 BK
(
Baada ya Kristo
).
- 1 Januari
-
Shaaban Robert
, mshairi maarufu wa
Tanzania
- 2 Januari
-
Barry Goldwater
, mwanasiasa kutoka
Marekani
- 15 Januari
-
Gene Krupa
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 18 Februari
?
Wallace Stegner
, mwandishi wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
, mwaka wa
1972
- 28 Februari
-
Ketti Frings
, mwandishi kutoka
Marekani
- 13 Aprili
-
Eudora Welty
, mwandishi kutoka
Marekani
- 22 Aprili
-
Rita Levi-Montalcini
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1986
- 30 Mei
-
Benny Goodman
, mwanamuziki kutoka
Marekani
- 21 Septemba
-
Kwame Nkrumah
(Rais wa kwanza wa
Ghana
)
- 3 Novemba
?
James Reston
, mwandishi wa
Marekani
na mshindi wa
Tuzo ya Pulitzer
, mwaka wa
1945
- 27 Novemba
-
James Agee
, mwandishi kutoka
Marekani
- 14 Desemba
-
Edward Tatum
, mshindi wa
Tuzo ya Nobel ya Tiba
mwaka wa
1958
Wikimedia Commons ina media kuhusu: