Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tarehe
13 Machi
ni
siku
ya
72
ya
mwaka
(ya 73 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 293.
Wakristo
wengi, wakifuata
mapokeo ya Roma
, huadhimisha
kumbukumbu
za
watakatifu
Masedoni na wenzake
,
Sabino wa Minya
,
Kristina wa Persia
,
Piensi
,
Leandri wa Sevilia
,
Eldrado
,
Roderiki na Solomoni
,
Ansovini
n.k.
|
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
13 Machi
kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|