Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Korean Broadcasting System (KBS)
(kwa
Kikorea
: 韓國방송공사,
Hanguk Bangsong Gongsa
) ni mtangazaji wa kitaifa wa
Korea Kusini
.
Ilianzishwa mnamo
1927
, na inafanya kazi kwa
redio
,
runinga
, na huduma za mkondoni, ikiwa mojawapo ya mitandao kubwa zaidi ya runinga ya Korea Kusini.
|
Makala hii kuhusu mambo ya
uchumi
bado ni
mbegu
.
Je, unajua kitu kuhusu
Korean Broadcasting System
kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa
kuihariri na kuongeza habari
.
|